• Home
  • About
  • Contact
facebook twitter pinterest Email

Rickyllobbe

Technology is what people wan't,try to play your part
Share
Tweet
Pin
Share
No comments
 Mifuko mipya nchini mwetu,mizuri,haina garama.Mifuko hii pia hachafui mazingira.Tukijaribu tutaweza lakini tukumbuke pia kuwa mifuko ya plastiki haiozi,inasababisha madhara mengi,lakini mifuko hii inaweza kutumika kama mbolea pia.
Share
Tweet
Pin
Share
No comments

     Mlima kilimanjaro upatikanao Tanzania ndio mlima mrefu kuliko yote barani Africa,Mlima huu uliweza kugundulika na kuchapwa katika vitabu kwenye miaka ya 1861 na 1865,aliye sababisha mlima kilimanjaro uweze kujulikana ulimwenguni ni mjerumani aitwaye Johannes Rebmann   akiwa na kamanda mwenzake wa kijerumani aitwaye Baron Karl Klaus von der Decken akiwa mkoani kilimanjaro.Mlima huu una urefu wa mita 5895 kwenda juu na ndiyo mlima mrefu kuliko yote barani Africa




Share
Tweet
Pin
Share
No comments

          Karibu Tanzania nchi yenye Amani na utulivu muda wote,mjii mkuu wa nhi ya Tanzania unafahamika kwa jina la Dodoma.Mji mkuu kwa ajili ya Biashara Tanzania unafahamika kwa jina  Dar es salaam.Kivutio kikubwa nchini Tanzania ni mlima Kilimanjaro ambao ni mlima wa kwanza kwa urefu barani Africa. unapatikana katika mkoa wa kilimanjaro,Bila kusahau visiwa vyetu "Zanzibar".Ukija nchini Tanzania utajionea mengi sana.Karibu nyumbani.Mungu Ibariki Africa Mungu Ibariki Tanzania

Share
Tweet
Pin
Share
No comments

Share
Tweet
Pin
Share
No comments
Next Page

Follow Us

  • www.mojasky.com
  • facebook
  • twitter
  • pinterest
  • youtube

Sponsor

https://mojasky.com/question/nifanyeje-ili-nisikate-tamaa/
Unahisi kukata tamaa

Twitter

https://twitter.com/rickyllobbe

Translate

Created with by ThemeXpose